* Ni baada ya kuboresha taarifa zake katika Kituo cha Suji, Mtaa wa Suji Kata ya Mzingani. Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini Mhe Ummy Mwalimu leo tarehe 14/2/2025 amefika katika kituo cha kujiandikisha na kuboresha taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga kura ili kuboresha taarifa zake na ametumia muda huo kuhamasisha wananchi wa Jimbo la Tanga Mjini kujitokeza kwa wingi katika vituo hivyo ili kujiandikisha na kuboresha taarifa zao ili waweze kushiriki kuchagua Rais, Mbunge na Diwani. Akizungumza baada ya kuboresha taarifa zake Mhe Ummy amesema “Nahimiza wananchi wa Tanga Mjini kujitokeza kwa wingi kujiandisha na kuboresha taarifa zao na pia kwa wale ambao watafikisha miaka 18 mwezi wa 10 wanapaswa kujiandikisha ili wapate vitambulisho vya kupiga kura ambavyo pia vinatumika katika masuala mengine muhimu ikiwemo kufungulia account bank na kuombea mikopo.
* Ni baada ya kuboresha taarifa zake katika Kituo cha Suji, Mtaa wa Suji Kata ya Mzingani. Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini Mhe Ummy Mwalimu leo tarehe 14/2/2025 amefika katika kituo cha kujiandikisha na kuboresha taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga kura ili kuboresha taarifa zake na ametumia muda huo kuhamasisha wananchi wa Jimbo la Tanga Mjini kujitokeza kwa wingi katika vituo hivyo ili kujiandikisha na kuboresha taarifa zao ili waweze kushiriki kuchagua Rais, Mbunge na Diwani. Akizungumza baada ya kuboresha taarifa zake Mhe Ummy amesema “Nahimiza wananchi wa Tanga Mjini kujitokeza kwa wingi kujiandisha na kuboresha taarifa zao na pia kwa wale ambao watafikisha miaka 18 mwezi wa 10 wanapaswa kujiandikisha ili wapate vitambulisho vya kupiga kura ambavyo pia vinatumika katika masuala mengine muhimu ikiwemo kufungulia account bank na kuombea mikopo.
Post A Comment: