Jina langu ni Sam, mkazi wa Kakame hapa nchini Kenya, miaka saba hivi iliyopita bila kutarajia nilimpa mimba binti ambaye sikuwa na mpango nae wa kumuoa licha ya yeye kuwa ananipenda sana hadi kuwa tayari kufanya lolote kwa ajili yangu.

Kutokana na kutokuwa tayari kuwa baba kwa kipindi kile, hivyo nilimzimia simu na kupotea kabisa machoni mwake. Uzuri nilipokuwa naishi yeye alikuwa hapajui, mara zote tulikuwa tunakutana katika nyumba za kulala wageni.

Basi mimi niliendelea na maisha yangu bila kujua kipi kinaendelea kwa upande wake na wala sikutaka kufuatilia. Ilipita kama miaka miwili huku akiwa hajui kabisa nilipo maana nilibadilisha na namba ya simu.

Siku moja nikiwa katika harakati zangu, gafla nikakutana nae, ni jambo ambalo sikuwahi kulifikiria. Alinikimbilia na kunikumbatia kwa upendo ule ule, niliona machozi kwa mbali machoni mwake. Nadhubutu kusema alinipenda sana.

Hata hivyo, tulivyokutana awamu hii, alikuwa amepungua, mwili wake na umbo zuri lote lilikuwa limepotea kabisa. Hakuwa na uzuri ambao ulinivutia hadi kuamua kumtongoza na kuwa naye katika mahusiano hapo awali.

Nilivyomuuliza nini shida, akaniambia ile mimba niliyompa kisha kumkimbia, kwa bahati mbaya iliharibika kutokana na msongo wa mawazo baada ya mimi kumkimbia na asijue nini cha kufanya maana aliamini mimi ni wake milele.

Alisema mimba iliharibika vibaya, hivyo ilipelekea yeye kuumwa sana kwa kipindi kirefu tena bila msaada wangu wala hata kujua nipo wapi. Anasema alitamani hata asikie sauti yangu ila haikuwa hivyo.

Kusema kweli niliumia sana baada ya kusikia maneno yale, ila nilishangazwa sana na jinsi upendo wake ulivyobaki vilevile licha ya roho mbaya niliyomfanyia.

Kwa bahati mbaya sikuweza kumsaidia kitu, maana nilikuwa tayari nishaoa na nina watoto.

Niliporudi nyumbani nafsi yangu ilikosa amani kabisa hadi mke wangu akawa ananiuliza nina shida gani.

Hali ya kukosa amani iliendelea kunitafuna kwa muda mrefu sana hadi mwili wangu ukaanza kupungua na kukosa nuru.

Kukutana na yule binti naona ilikuwa kama mkosi kwangu maana hadi mambo yangu ya kazi na kipato yalianza kuyumba kitu ambacho kilinizidishia mawazo. Kwa bahati mbaya sikuwa na namba yake ya simu maana tulipokutana aliniambia hana simu.

Nilitamani nimpigie na kumuomba msamaha na kama kuna lolote naweza kufanya kwake ili niondokana na hali hiyo tulifanye ila sikupa fursa hiyo. Hivyo hali yangu ilizidi kuwa mbaya, afya yangu ilidhohofika sana na nilipoenda hospitali walisema siumwi chochote.

Kuna ndugu yangu mmoja nilimsimulia mkasa huo, ndipo akanishauri niende kwa Dr Bokko kwani wanaweza kunisadia. Nilifika kwa mtaalamu huyo wa tiba asilia na kumuaeleza shida yangu hiyo.

Baada ya kufanya ganga ganga zao, alibaini kuwa nilikuwa nikiandamwa na mikosi na niliipata siku ambayo nilikutana na yule binti na ndio sababu nafsi yangu ilikuwa inakosa amani hadi kudhohofika vibaya.

Alinifanyia matambiko ya kuondoa mikosi hiyo, tangu siku hiyo afya yangu ikaimarika na kuwa na amani na sasa naishi maisha yangu vizuri bila kuumizwa na makosa yangu ya nyuma maana ni hali ambayo siwezi kuibadili. Mpigie Dr Bokko kwa namba +255618536050.

Share To:

Post A Comment: