Naibu Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya habari Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewasili Lusaka nchini Zambia kushiriki Katika Mkutano wa The ( Digital Government Africa).

Mhandisi Mahundi amepokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Zambia Ltn.Gen.Mathew Mkingule ambapo mkutano huo ni utafanyika kuanzia Oktoba 2 hadi 4 2024.

Katika safari hiyo Mhandisi Mahundi ameongozana na maafisa waandamizi watatu kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari.






Share To:

Post A Comment: