Jina langu ni Betina mkazi wa Arusha, Tanzania, nina umri wa miaka 18, elimu yangu nimesoma hadi darasa la saba, nilianza sekondari ili nilipofika kidato cha pili shule ilinishinda nikawa natafuta kazi ya kufanya.

Nakumbuka siku moja nilikutana na mama mmoja anapika mgahawa, nikaenda taratibu ili kuomba kazi pale, mama alinikaribisha kama mteja.

Nikamuita pembeni nikamueleza shida yangu yule mama hakusita akaniambia niende kesho yake, na kweli asubuhi ilipofika nikajiandaa kuelekea kwa yule mama ntilie.

Alinipokea na kuanza kazi siku ile ile, kwa siku nilikuwa napewa Tsh3,000, ilikuwa ni fedha ndogo kwangu ila niliendelea kufanya hivyo hivyo maana nilikuwa na shida na isitoshe maisha ni magumu.

Unajua kuacha kazi ni rahisi sana ila kuja kupata kazi nyingine ndio huwa ngumu hasa kwa sisi watu ambao hatujaenda shule na kupata taaaluma au ujuzi wowote.

Jioni moja nilikuwa natokea kazini kuelekea nyumbani, kabla sijafika nikakutana na dada anatoka kazini kwao nikamsimamisha nikamueleza jinsi kazi yangu ilivyo na changamoto hasa upande wa malipo.

Yule dada akanipa namba yake ya simu nimtafute baadaye, nilipofika nyumbani nikapiga ile namba nikaongea naye, akanielekeza nikaenda, nilipofika pale nikampigia simu akatoka akanielekeza niende nikamwone meneja wa pale kazini.

Nilifika nikamueleza shida yangu, akanielekeza nije kesho asubuhi ili nimuone nijue utaratibu wa pale, asubuhi kulipokucha nikaelekea hadi pale kazini, alinipokea vizuri nikaanza kazi.

Nilimshukuru sana yule dada, nikaendelea kufanya kazi vizuri na hela napata kwa wakati baada ya miezi kadhaa Bosi alianza kunicheleweshea mshahara, muda mwingine hanipi kabisa.

Nikaendelea kufanya kazi ili nisikose kazi, siku zinavyozidi kwenda nilichoka, nikajiuliza kwanini mimi tu mbona wengine hawafanyiwi hivyo?, mbona wenzangu wanalipwa mshahara wao kwa wakati?.

Katika kuperuzi katika mitandao ya kijamii, ndipo nikakutana na tangazo la Dr Bokko, hapo niliweza kujua kuwa anatoa huduma ya kuweka mambo sawa katika kazi na biashara.

Basi niliamua kuchukua hatua ya kuwasiliana naye kupitia namba yake, +255618536050, nilimueleza kila kitu ambacho kilikuwa kinaendelea katika maisha yangu.

Nashukuru aliweza kunifanyia dawa mara moja, baada ya siku tatu Bosi wangu aliniita na kunipa mshahara wangu wote, na tangu wakati huo nimekuwa nikilipwa mshahara kwa wakati.

Share To:

Post A Comment: