
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ameupongeza Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) alipokuwa akielezwa na Mtaalamu wa Sheria wa taasisi hiyo, Harvey Kombe kuhusu huduma mbalimbali wanazozitoa kwa wananchi alipotembelea banda hilo katika kilele cha Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kanda ya Kati jijini Dodoma Agosti 8, 2022
Post A Comment: