


Baadhi ya Wadau wanaomiliki maeneo ya Fukwe wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Utalii, Philip Chitaunga kwenye Mkutano wa Wadau wanaomiliki maeneo ya Fukwe uliofanyika leo Jijini Dar es salaam. 

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utalii, Philip Chitaunga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau mbalimbali wanaomiliki maeneo ya Fukwe mara baada ya Mkutano wa kujadili namna ya kuendeleza maeneo yao ya Fukwe uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
**************************
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utalii, Philip Chitaunga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau mbalimbali wanaomiliki maeneo ya Fukwe mara baada ya Mkutano wa kujadili namna ya kuendeleza maeneo yao ya Fukwe uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Post A Comment: