Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na dereva wa Katapira Bw. George Michael alipokuwa akikagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa kiwanda cha bidhaa za Ngozi cha Karanga, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
|
Post A Comment: