Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Arusha leo umefanya kwa kishindo kikao chake cha kwanza cha Baraza Kuu kikiwa na ajenda moja ya  uchaguzi wa katibu wa  uhamasishaji wa Baraza la Utekelezaji.

Katika Uchaguzi huo uliofanyika katika ukumbi wa Ccm  mkoa wa Arusha , Ndg Omary Lumato ameteuliwa na kamati ya utekelezaji vijana mkoa wa Arusha  uvccm kuwa Katibu wa Hamasa  na chipuki ambaye ndiye msemaji wa jumuiya ya vijana Uvccm mkoa wa  Arusha ameshinda kwa kura  zote za ndio
Share To:

msumbanews

Post A Comment: