TAARIFA KUTOKA OFISI YA MBUNGE JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI 06:02:2018

Leo Mh:mbunge Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Amefunguliwa kesi mahakama ya Wilaya Sekei  ya kushambulio na kudhuru tukio linalodaiwa kutendwa  mwaka mwaka 2014 kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Kesi hiyo iliyofunguliwa na aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kata ya Makiba Ndugu Naiman Ngugu.

Hata hivyo HAKIMU Jasmini amesema upelelezi haujakamilika tangu mwaka 2014  kesi itaendelea tar 06 /03/2018 .

Mhe Mbubge Nasari  amepewa dhamana na kutakiwa awe na mdhamini mmoja kwa   dhamana ya sh  milioni 5 
Mhe Nasari Mbunge  amedhaminiwa na amesharudi Bungeni kuendelea vikao Vya bunge vinavyoendelea Dodoma.

Imetolewa na Katibu ofisi ya Mbunge Jimbo la Arumeru Mashariki 


       Julius Ayo

         06:03:2018
Share To:

Post A Comment: