Hizi ndizo timu ambazo zimefuzu 16 Bora baada ya michezo ya raundi ya 3 kuchezwa Juzi na Jana.
  1. Tanzania Prisons
  2. Maji Maji
  3. Mtibwa Sugar
  4. Kiluvya United
  5. Stand United
  6. Njombe Mji
  7. Singida United
  8. Yanga
  9. Azam
  10. Mbao Fc
  11. Dodoma Fc
  12. Polisi Tanzania
  13. Ndanda
  14. JKT Tanzania
  15. Buseresere Fc
Kumbuka Msomaji wa Msumbanews.co.tz Imebaki timu moja Kuingia kwenye timu 16 Bora ambapo mechi kati ya KMC na Toto Africa ndiyo itakayoamua timu nyingine ya Kuingia kwenye list Hiyo. 

Kumbuka Kulike ukurasa wetu wa Facebook hapo chini 
Share To:

msumbanews

Post A Comment: