Waziri mkuu Mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa jana jioni aliungana na baadhi ya viongozi wa chama hicho nyumbani kwa aliyekuwa Mwanachama wa chama hicho na Mwanasiasa mashuhuri Marehemu Richard Hizza Tambwe eneo la Mbagala kuwapa pole wafiwa kutokana na msiba wa mwanasiasa huyo uliotokea  jana.


Share To:

msumbanews

Post A Comment: