Muigizaji wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’.

Muigizaji wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amepata pigo kwa kuondokewa na mama yake mzazi. Mungu ailaze roho ya mama Johari mahala pema peponi, Amina.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: