Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika,Salehe Muhando (Mwenye miwani pichani juu na chini) akikagua athari ya  Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha jana na kusababisha kuezua mapaa ya nyumba 30 na kuharibu mazao hasa migomba katika kijiji cha Mwese Kata ya Mwese.Muhando alisema kuwa kutokana na athari hiyo, lakini wanamshukuru Mungu hakuna mtu aliyepoteza maisha.

Share To:

msumbanews

Post A Comment: