Elimu solutions company limited ni kampuni ya kitanzania iliosajiliwa kwa ajili ya kufanya shughuli mbali mbali za kielimu.

ikiwemo kufanya shughuli za udahili wa wanafunzi katika vyuo vikuu mbalimbali  nchi china  kwa ngazi tofauti.

Kama wewe ni mmoja wapo unatafuta Scholarships basi wasiliana na sisi

TUNAPATIKANA
Elimu Solutions Tanzania Ltd. NHC Building Biashara Complex 1st Floor Suite No. 106 Mwananyamala Komakoma P.O. Box 5678, Dar es Salaam Tel: +255 22 2760260 Fax: +255 22 2760260 Mob: +255 718 782 424 +255 744 544 443 www.elimusolutions.co.tz  Hartmann O. Mbilinyi DIRECTOR OF LOGISTICS & FACILITATIONS..










Share To:

msumbanews

Post A Comment: