Mwanamuziki Diamond Platnumz akiwa na CEO wa MeTLGroup Mohammed Dewji

Miongoni mwa bilionea wa Afrika aliyekuwa Mbunge wa Singida na CEO wa MeTLGroup, Mohammed Dewji amemwaga sifa kwa mwanamuziki Diamond Platnumz kuwa ni miongoni mwa wanamuziki wa wakubwa barani Afrika lakini mwenye uwelewa mzuri.

Juzi kupitia account yake ya Instagram, Mohammed Dewji, aliweka picha yake akiwa na Diamond na kuandika maneno hayo kwa Kingereza yaliyo someka “Today afternoon with @DiamondPlatnumz One of Africa’s biggest and smartest artists in the music industry #TanzaniansUnite


Share To:

msumbanews

Post A Comment: