Bodi ya mikopo ya elimu ya juu wametangaza majina ya wanafunzi waliopata mkopo 2016/2017 awamu ya kwanza.
Hapa ni link ya kuangalia kama umepata au laah unaandika namba ya form 4 na code walizokupa hapo.

Kumbuka format ya form 4 no. ni s0001.0001.0001 na sio s0001/0001/0001

Link hii hapa http://olas.heslb.go.tz/index.php/allocation/allocations/fresher_login
 
Chini limeambatanishwa FILE la Orodha ya Waliopata Mkopo 2016/17  
1.First List Of Loan Beneficiaries For Academic Year 2016/2017. << Click here>>
  


2.First Year Loan Allocations Breakdown for 2016/17 . <<Click here>>
Share To:

msumbanews

Post A Comment: