TAARIFA ya Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini Amesema kuanzia Januari hadi Juni 2016,inaonesha kuwa watu  1580 walikufa kutokana na ajali za barabarani na watu  4659 walijeruhiwa katika ajali 5152.Katika kipindi hicho watu waliokufa kwa ajali za pikipiki ni 430.Mwaka 2015 pekee hapa nchini ajali za barabarani zilisababisha vifo vya watu  zaidi ya 4000.
Takwimu za Shirika la Afya Duniani zinaonesha kuwa kila mwaka ajali za barabara duniani zinasababisha vifo vya watu milioni 1.3Hata hivyo utafiti umebani.ajali nyingi zinasababishwa na uzembe wa madereva .

Share To:

msumbanews

Post A Comment: