Siku ya harusi yangu ilitakiwa kuwa siku ya furaha zaidi maishani mwangu. Ukumbi ulikuwa umepambwa kwa maua meupe ya kuvutia, wageni waalikwa walikuwa wamekaa, na keki ya ghorofa tano ilikuwa tayari.

Nikiwa nimevalia shela langu la harusi, nikisubiri kuingia kanisani, mlango wa chumba changu ulifunguka kwa nguvu. Alikuwa ni bwana harusi mtarajiwa, akiwa na uso wa baridi, na kuniambia maneno yaliyosimamisha moyo wangu: “Siwezi kufanya hivi. Harusi imefutwa.”

​Saa moja tu kabla ya kiapo, aliondoka na kuniacha nikiwa nimechanganyikiwa, nikilia kwa uchungu na aibu kubwa mbele ya wazazi wangu. Ndoto yangu ya miaka minne ilisambaratika kwa sekunde chache.

Ndugu walibaki wameduwaa, na sherehe iligeuka kuwa msiba wa kihisia. Nilihisi sitaweza kamwe kuinua uso wangu mbele ya jamii tena. SOMA ZAIDI.

Kuhitimu masomo yangu ya chuo kikuu kwa kiwango cha juu ilikuwa fahari kubwa kwa familia yangu. Tuliamini kuwa elimu hiyo ingekuwa ufunguo wa kuondoa umaskini nyumbani.

Hata hivyo, ukweli wa mitaani ulikuwa tofauti kabisa. Miaka minne ilipita nikiwa nazurura na bahasha ya vyeti chini ya jua kali, nikituma maombi ya kazi kila kona bila mafanikio yoyote.

​Kila usaili niliompata uliishia kwa kuambiwa “tutakutafuta,” maneno ambayo yalikuwa ishara ya kukataliwa. 

Nilishuhudia wadogo zangu na marafiki zangu wakipata kazi nzuri, huku mimi nikibaki kuwa mzigo kwa wazazi wangu. Nilikata tamaa, nikapoteza kujiamini, na nilianza kuhisi kuwa labda nyota yangu ilikuwa imefifia kabisa.SOMA ZAIDI.
Ndoa yangu iliononekana kuwa ya mfano wa kuigwa katika jamii. Mume wangu alikuwa mtu mwenye upendo, mkarimu, na aliyetujali sana mimi na watoto wetu. Hata hivyo, kwa miaka mitatu ya mwisho, nilianza kuhisi mabadiliko ya chini kwa chini.

Simu yake ilianza kuwekwa nenosiri (password) kali, safari za kikazi za ghafla zilipishana, na upendo wake kwangu ulianza kupoa. Kila nilipomuuliza, alinituhumu kwa kuwa na wivu usio na msingi. Niliumia moyoni na kukosa amani ya nafsi.

​Kilele cha sintofahamu hii kilikuja kudhihirika siku tuliyofanya sherehe kubwa ya kifamilia nyumbani kwetu, tukiwa tumewaalika ndugu, jamaa, na marafiki zetu wa karibu.

Katikati ya vicheko na furaha ya wageni wetu, siri nzito iliyokuwa imefichwa kwa miaka mitatu ililipuka kama bomu mbele ya kila mtu.SOMA ZAIDI.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kulia) akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge mara baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya ziara ya kikazi ambayo anatarajia kuifanya kuanzia leo Julai 20,2026.
Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akizungumza na Viongozi na Wananchi mara baada ya kukagua mradi wa Shule ya Msingi Mfinga iliyopo Sumbawanga, Mkoani Rukwa tarehe 19 Julai, 2026.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, akizungumza na wafanyabiashara wa mifugo na mazao yake wakati wa kikao kilichoandaliwa na Umoja wa Wafanyabiashara wa Mifugo na Mazao Yake Temeke (UWAMIMATE), kilichofanyika Julai 19, 2026 katika Ukumbi wa Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Temeke, Dar es Salaam. Katika kikao hicho, wafanyabiashara waliwasilisha changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya biashara ya mifugo na mazao yake, huku Waziri akiahidi kuzifanyia kazi kwa kushirikiana na wizara na taasisi husika
 

Na.Mwandishi Wetu

Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela ( NM- AIST) inatumia mbio za marathon kama moja ya mikakati ya kupata fedha za kutoa ufadhili wa masomo kwa wanawake na wasichana ili kuongeza ushiriki wao katika masomo ya Sayansi, Teknolojia, Hisabati na Ubunifu (STEM).

Hayo yamebainishwa Julai 19, 2026 Jijini Arusha wakati wa Maadhimisho ya Mbio za Taasisi hiyo na Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dkt. Toba Nguvila ambapo amesema kuwawezesha wanawake na wasichana katika masuala ya Sayansi si hisani bali ni uwekezaji wa kimkakati wa Maendeleo ya Taifa

Dkt. Nguvila ameeleza kuwa Dira ya Taifa 2050 inalenga kujenga uchumi wa maarifa unaotegemea ujuzi, utafiti na teknolojia hivyo ametoa wito kwa Taasisi za Elimu ya Juu hususan NM- AIST kuhakikisha tafiti zinazofanyika katika Taasisi hiyoziwe ni zile zizotatua changamoto za wananachi katika sekta za Kilimo, mifugo, madini na viwanda.

​Akizungumza awali katika tukio hilo Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Maulilio Kipanyula amesema kuwa mbio hizo zilianzishwa mwaka 2024 kuhamasisha wasichana kusoma masomo ya sayansi na kutimiza ndoto zao za kuwa madaktari, wahandisi na watafiti.

"​Kwa sasa, Mbio za Mandela zimekuwa alama ya mkoa wa Arusha kwa kuchangia ukuaji wa sekta za michezo, elimu, sayansi, afya na utalii. Tukio hili limeweka msingi imara wa kujenga taifa lenye ujumuishi, mshikamano, na kuandaa kizazi kipya cha wanasayansi na wabunifu wasichana na wanawake," amesema Prof Kipanyula

Mbio hizo zilizohusisha umbali wa kilomita 2.5, 5 10 na 21 zimevuta ushiriki mkubwa wa jamii kutoka ndani na nje ya nchi, na kufanya azma ya kuifanya Arusha kitovu cha sayansi na ubunifu barani Afrika kuwezekana.

Mbio za NM- AIST za Mwaka 2026 zina kauli mbiu isemayo Jitihada kwa Sayansi Hatua kwa Mafanikio.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akifuatilia maelezo ya Kijana Mnufaika wa Mafunzo ya Uanagenzi Fani ya Ufundi Bomba, Ismail Mbogo alipotembea Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), kampasi ya Rukwa.
Na Mwandishi Wetu

Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ameangalia maonesho ya sayansi wataka wakaguzi wa shule kutenda haki kwa shule binafsi na kuziona kama mshirika wa maendeleo badala ya mshindani.
Kuanzisha kiwanda kidogo cha kusaga nafaka na kuzalisha unga ilikuwa hatua kubwa sana kwangu. Niloweka mitambo ya kisasa na kuajiri vijana wenye ujuzi ili kuhakikisha kazi inaenda vizuri.

Hata hivyo, miezi michache baada ya kuanza, nilikumbana na mtihani mzito uliotishia kufunga biashara yangu na kuniazima deni kubwa la benki.

Kila wiki, mashine zilikuwa zinaharibika bila sababu yoyote ya msingi. Mara mota ziungue, mara vipuri vikatike, au mifumo ya umeme ivurugike kabisa. Mafundi walikuja na kubadilisha vifaa vipya, lakini baada ya siku mbili au tatu, mtambo ule ule unajifunga tena.

Nilikuwa nikipoteza mamilioni ya fedha kwa ajili ya matengenezo na kununua vipuri, huku wateja wangu wakiondoka kwa kukosa bidhaa kwa wakati. Nilikuwa naingia hasara kila kukicha, na amani ya moyo ilitoweka kabisa. SOMA ZAIDI.
Kupotelewa na mtu unayempenda ni jeraha linalovuja damu kila siku bila kupona. Kaka yangu mkubwa, ambaye alikuwa tegemeo na kiongozi wa familia yetu, aliondoka nyumbani kwenda mijini kutafuta maisha miaka 18 iliyopita.

Tangu siku hiyo, hakurudi, na mawasiliano yalikatika kabisa. Tulimtafuta kila kona hospitalini, vituo vya polisi, na hata kwenye vyombo vya habari lakini hatukupata hata chembe ya matumaini.

​Mama yetu alizeeka kwa majonzi, kila kukicha akilia na kutazama mlangoni akihisi labda mwanaye angerudi. Miaka 18 ya upweke, sintofahamu, na simanzi ilianza kutufanya tuamini kuwa labda kaka yetu hayuko hai tena duniani. Furaha ilitoweka kabisa kwenye familia yetu. SOMA ZAIDI.
Siku niliyofukuzwa kazi itabaki kuwa moja ya siku zenye maumivu makubwa maishani mwangu. Nikiwa kama mfanyakazi mwaminifu niliyependa majukumu yangu, nilishitukizwa kwa tuhuma nzito za uongo za ubadhirifu wa fedha za kampuni.

Licha ya kujitetea kwa nguvu zote na kuonyesha ushahidi, uongozi ulikataa kunisikiliza na kunifukuza kazi mara moja bila hata kiinua mgongo.

​Maisha yalibadilika ghafla kuwa magumu mno. Ndani ya miezi sita, nilishindwa kulipa kodi ya nyumba, nikashindwa kuhudumia familia yangu, na marafiki niliokuwa nao kazini walinitenga wakiniogopa kama mhalifu.

Msongo wa mawazo ulinisonga sana nikijua sifa yangu ya miaka mingi imechafuka kwa uongo uliotengenezwa na maadui zangu wa kazini waliokuwa wakionea wivu mafanikio yangu. SOMA ZAIDI.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, akizungumza na wadau mbalimbali wa mazingira kabla ya kushiriki matembezi yaliyolenga kuhamashisha jamii katika Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira yaliyofanyika Julai 19, 2026 jijini Dar es Salaam.

 



•Prof. Shemdoe atoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa nyumba za watumishi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la wananchi wa mvomero la kujengewa shule mbili za Sekondari katika Halmashauri ya Mvomero, ombi ambalo liliwasilishwa kwa niaba yao na Mbunge wa Jimbo la Mvomero Mhe. Sara Msafiri pamoja na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro Mhe. Josephine Kapoma wakilenga kuboresha mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji katika Halmashauri hiyo.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Julai 18, 2026 katika kijiji cha Mkindo, kata ya Mkindo, Halmashauri ya Mvomero Mkoa wa Morogoro, mara baada ya kukagua na kuweka jiwe la msingi katika miradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Mkindo, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma mkoani Morogoro.

"Mhe. Sara Msafiri akishirikiana na pacha wake Mhe. Josephine Kapoma waliniomba tujenge shule nne, nilipokea ombi hilo na kuliwasilisha kwa Mhe. Waziri Mkuu naye akaliwasilisha kwa Mhe. Rais ambaye ameridhia ombi hilo kwa kutoa Shilingi Bilioni 1.1 za kujenga shule mbili, na tayari fedha hizo zimeshaingizwa kwenye akaunti ya Halmashauri," amesema Prof. Shemdoe.

Katika kuhakikisha wananchi waliopo kwenye maeneo yenye uhitaji mkubwa wananufaika na shule hizo, Prof. Shemdoe ameelekeza zijengwe kwenye kata ya Dakawa na Mzumbe kama alivyoomba Mbunge wa Jimbo la hilo la Mvomero, Mhe. Msafiri, huku akitoa wito kwa sekta binafsi kuunga mkono jitihada za Serikali kwa kuwekeza katika ujenzi wa nyumba za walimu nchini.

Aidha, Prof. Shemdoe amesema kabla ya kufika shuleni hapo amekagua, ameweka jiwe la msingi na kuzindua huduma ya upasuaji katika jengo jipya la upasuaji la Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero lenye vifaa tiba vya kisasa, hatua itakayowawezesha wakazi wapatao 459,304 wa wilaya ya Mvomero na maeneo jirani kuwa na uhakika wa kupata huduma ya upasuaji katika hospitali hiyo.

Katika hatua ya kuboresha miundombinu ya elimu Mvomero, Prof. Shemdoe amesema pia ametembelea na kuzindua vyumba vinne vya madarasa katika Shule ya Msingi Miembeni yenye thamani ya Shilingi Milioni 115 ambayo imejengwa katika kijiji cha Mvomero, kata ya Mvomero wilayani Mvomero.

“Na sasa nipo hapa na nimeshiriki nanyi katika kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Mkindo katika kijiji hiki cha Mkindo kilichopo kata ya Mkindo, shule ambayo imejengwa baada ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoa Shilingi Milioni 528 za ujenzi wa shule hii,” ameeleza Prof. Shemdoe.

Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Mhe.  Sara Msafiri, amemuomba Prof. Shemdoe kufikisha salamu za shukrani za wananchi wa Mvomero kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha zilizowezesha ujenzi wa shule ya Sekondari ya Sayansi Mkindo, akisema shule hiyo itazalisha madaktari, wahandisi pamoja na walimu wa masomo ya sayansi.

Naye, Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Josephine Kapoma, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha za ujenzi wa miundombinu ya elimu katika maeneo ya vijijini hususani kwenye kijiji hicho cha Mkindo.

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeridhishwa na hatua, ubunifu na kasi ya mageuzi yanayotekelezwa na Gereza la Manyoni, mkoani Singida, katika kuachana na nishati isiyo safi na kuanza kutumia bidhaa na teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia.
Kifo cha baba yangu kilikuwa pigo kubwa, lakini kilichofuata kilitesa moyo wangu hata zaidi. Siku ya kusomwa kwa wosia, nilipata mshtuko wa maisha yangu. Jina langu halikuwepo kabisa.

Kila kitu kuanzia mashamba, nyumba, hadi akaunti za benki kilikabidhiwa kwa ndugu zangu na mke wake mdogo. Nilifukuzwa kama mtu baki kwenye mali ambazo mimi mwenyewe nilisumbuka kuzitafuta pamoja na baba yangu.

​Ndugu walinitenga na kuniona sifai. Nilijaribu kwenda mahakamani, lakini kesi iligonga ukuta kwa sababu wosia ulikuwa umegongwa muhuri rasmi.

Nilijikuta nikiwa maskini wa kutupwa, ninaishi kwa dhiki, huku wale waliochukua urithi wangu wakicheka na kunisimanga kila siku. Nilijawa na kinyongo, upweke, na sonona kali. SOMA ZAIDI.
Kufungua saluni yangu mwenyewe ilikuwa ndoto ya maisha yangu. Nilitumia akiba yangu yote kukodisha fremu nzuri, kununua vioo vya kisasa, viti vya kifahari, na vifaa vyote vya ubora wa juu.

Nilijua kila aina ya mtindo wa nywele na urembo, lakini kuna kitu kimoja sikuwa nimekijua jinsi ya kupata wateja.

​Miezi tisa ya mwanzo ilikuwa jehanamu ya kiuchumi. Siku zote zilifanana; nilikaa kwenye kiti kuanzia asubuhi hadi jioni nikitazama mlango, lakini hakuna mtu aliyeingia. 

Kodi ilikuwa inakaribia kuisha, bili za umeme zilinishinda, na nilianza kufikiria kufunga biashara na kurudi kuajiriwa. Nilikosa amani, na kila usiku ulikuwa wa mawazo na machozi. SOMA ZAIDI.
Ndoa yetu ilianza kwa furaha na matumaini makubwa. Kama wanandoa wengine, ndoto yetu kuu ilikuwa kupata mtoto wa kutupa tabasamu na kuikamilisha familia yetu. Hata hivyo, miaka mitano ilipita bila mafanikio yoyote.

Kila mwezi ulikuwa wa maumivu, vilio vya chini kwa chini, na maswali yasiyokuwa na majibu kutoka kwa ndugu na marafiki. Tulijaribu kila njia ya hospitali. Tulitumia gharama kubwa kufanya vipimo na kununua dawa mbalimbali, lakini majibu yalibaki yale yale hakuna mabadiliko.

Upendo wetu ulianza kuingia kwenye majaribu makubwa, na matumaini yalianza kutoweka kabisa. Nilikua nikishuhudia wenzangu wakibeba mimba na kujifungua, huku mimi nikibaki na upweke na masikitiko moyoni. SOMA ZAIDI.
Na Mwandishi Wetu, Arusha

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Christian Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha.