Mjema ametoa kauli hiyo wakati akikagua ujenzi wa mabweni na madarasa mawili katika shule ya sekondari Kishapu ambapo ameeleza kuwa baadhi ya wafanyabiashara wameanza kupandisha bei za vifaa vya ujenzi kinyume cha utaraibu na kumuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo kuanza kuwashughukikia wote wanaokiuka bei halali ya bidhaa hizo kwa makusudi.
Home
Unlabelled
RC SOPHIA MJEMA AONYA WANAOPANDISHA BEI YA VIFAA VYA UJENZI
Post A Comment: